TECH
• Source: BBC Swahili
Kwa nini dhahabu ya Afrika haifanyi Afrika kuwa tajiri?
Muhtasari wa Kiswahili (Swahili Summary)
Karibu na migodi hii mikubwa, hakuna miji iliyostawi, wala shule nzuri, wala vituo vya afya vya kisasa. Badala yake, utakutana na umaskini, uharibifu wa mazingira, na miundombinu chakavu.
English Summary Translation
Kwa nini dhahabu ya Afrika haifanyi Afrika kuwa tajiri?